Aug 9, 2013

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO /JE WAJUA UNAWEZA PATA CANCER??

Kujichua au kujichezea (kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako huru kulizungumzia au kukili kuwa wakizidiwa huwa wanajisaidia…….

Wakati mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige moja ndio nguvu zinakuja…hasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu.

Leo nitaongelea Hasara za kujichua au kujichezea kwa mwanaume.

HASARA ZA KUJICHUA KWA MWANAUME:

1. Kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi.
Athari kubwa ya kupiga puri ni kuwa hupunguza kwa kiasi kikubwa hisia za mapenzi za mwanaume na kumfanya awe mtumwa sawa na mtumwa wa pombe.

2. Huathiri mfumo mzima wa kufanya mapenzi na kumfanya apizi haraka sana ( ndani ya dakika 3 tu).


Hii inatokana na kweli kuwa mwili wako unakuwa umeuzoeza kutoa mbegu kwa dakika chache kupitia njia ya kujichua.Tambua kuwa hakuna kitu wanawake wanachukia kama kupizi mapema.

3. Humfanya mwanaume ashindwe kurudia ROUND YA PILI NA KUENDELEA....

Hakuna mwanaume anayeweza kujichua kwa round tatu mfululiza hapo hapo.... Kwa kuwa mwili unakuwa umeuzoeza kupiga round moja tu, tena fasta, ndivyo itakavyo kuwa hata ukiwa na mpenzi wako.

Amini au usiamini.Ukweli ni kwaba hutaweza kurudia round kaka!!!... Vinginevyo upewe masaa kadhaa ya kupumzika.

4. Humfanya mwanaume kuwa MTUMWA wa kujichua.

Athari nyingine ya kujichua ni kuwa humfanya mwanaume awe mtumwa. Kama alizoea kupiga puri wakati wa kulala, au asubuhi, au mchana ni lazima afanye hivyo kila siku.... Haijalishi yuko wapi.Hata angekuwa na wenzake, ni lazima atakimbilia hata chooni ili mradi afanye hivyo.

5. Humfanya mwanaume ashindwe kabisa kutoa bao.

Hii hutokea kwa mwanaume aliyezoea kupiga puri kwa miaka kadhaa.

Jamani, nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa VIDOLE ni tofaut kabisa na Njia ya uzazi wa mwanamke. Kwanza ni vigumu na havina maji maji. Hali hii humfanya mwanaume ashindwe kupizi au kusimamisha, na hilo ni tatizo. Kwa kutumia mikono utatumia nguvu sana kujichua.

Sasa inapotokea ukafanya mapenzi live baada ya kutoka katika kipindi kirefu cha kupiga puri, mwili hushindwa kuendana na mabadiliko hayo.

6 Ni rahisi kupatwa na maradhi kama KANSA YA KORODANI.Kwa kitaalamu inaitwa PROSTATE CANCER.

Gonjwa hili hushambulia mirija ya chini ya uume na huufanya mkojo kuwa na mrundikano mwingi wa damu.

Kwa habari zingine zaidi:-

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...